Warning: include(header.php): Failed to open stream: No such file or directory in /home/scosiahc/domains/scosiah.co.tz/public_html/get-started.php on line 1

Warning: include(): Failed opening 'header.php' for inclusion (include_path='.:/opt/alt/php82/usr/share/pear:/opt/alt/php82/usr/share/php:/usr/share/pear:/usr/share/php') in /home/scosiahc/domains/scosiah.co.tz/public_html/get-started.php on line 1

Karibu Scosiah E-Card

"Karibu kwenye Scosiah E-Card – njia rahisi, ya kisasa na ya kuvutia ya kusherehekea tukio lako. Chagua muundo unaokufaa, tuma kwa wageni wako, na ufanye kila tukio kuwa la kukumbukwa."

1. Kuchagua Muundo wa E-Card

Mteja anapewa sampuli kadhaa za Scosiah E-Card, kila moja ikiwa na muundo wa kisasa na rangi zinazovutia. Mteja anachagua muundo mmoja unaomfaa tukio lake.

2. Kuweka Taarifa za Tukio

Baada ya mteja kuchagua muundo, timu yetu inaendelea kufanya customization ya E-Card: kuongeza majina, tarehe, eneo, na maelezo mengine muhimu ya tukio.

3. Kuunda QR Code

Kila E-Card inapata QR code ya kipekee, ambayo itakuwa tayari kwa inspection siku ya tukio. Wageni wanaoweza kuonesha QR code hii wanapofika kwenye tukio.

4. Kukusanya Mawasiliano/Contact za Wageni

Mteja anatupa orodha ya mawasiliano ya wageni wake. Hii inatupa uwezo wa kutuma E-Card moja kwa moja kwa kila mgeni kupitia SMS au barua pepe (inaweza pia kuwa WhatsApp).

5. Kutuma E-Card kwa Wageni

Wageni wanapokea E-Card zao kabla ya tukio au wakati wa tukio, wakiwa na taarifa zote muhimu na QR code yao. Hii inarahisisha kuhudhuriwa na uthibitisho wa wageni.

6. Shukrani Baada ya Tukio

Baada ya tukio kumalizika, wageni wanapokea SMS za shukrani kutoka kwa mteja, zikithibitisha uwepo wao na kuonyesha thamani ya kushiriki kwao kwenye tukio hili.

Ready to take the next step?

Contact Us Via WhatsApp

Warning: include(footer.php): Failed to open stream: No such file or directory in /home/scosiahc/domains/scosiah.co.tz/public_html/get-started.php on line 64

Warning: include(): Failed opening 'footer.php' for inclusion (include_path='.:/opt/alt/php82/usr/share/pear:/opt/alt/php82/usr/share/php:/usr/share/pear:/usr/share/php') in /home/scosiahc/domains/scosiah.co.tz/public_html/get-started.php on line 64